mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,712
Hakuna kitu km hicho, nyie mnaendeshwa na tamaa na hisia ndo maana n wepesi kubadilika na kubadilishwa... Mtu ambaye unatakiwa uishi naye kwa akili n km mtoto yan anahita kuongozwa ...Hahahaha nilitaka niteme povu lakini umeniwahi
Hivi unakumbuka Adamu alichoambiwa na Mungu siku ile bustanini......ishini nao kwa akili maana yake ni hivi akili zetu zina nguvu kuliko zenu tumieni akili la sivyo hamtatuweza katu
Sent using Jamii Forums mobile app
From profile picture to proper future