Fata dini baba, wacha kufanya ngona kabla hajuoa.swala co kupenda,unaweza kushawishika na ngono utakayopewa ukaamua uoe kabisa,hapo utakuwa umependa m2 au ngono yake?vp ukijaribu kwa mwingine ukakuta kumenoga zaidi uadilifu utauweza??
Tatizo wewe unaona nachekesha, lakini ukweli sichekeshi.wa wapi wewe? kwahiyo mume wangu akiwa wa wake 20 ndo atatulia na mimi? unachekesha!
wa wapi wewe? kwahiyo mume wangu akiwa wa wake 20 ndo atatulia na mimi? unachekesha!
Aisay sio kila anaye cheka anacheka, wengini huwa wanalia.
Ndo maana hata mie natafuta wafuai wa Molygamy.
Ya nini mtesane kung'ang'aniana wakati mnaweza fanya kolabo na watu wengine bila kuvunja ndoa yenu?
Uhuru wa mwandishi aidhuru tabaka tawala tu.
Mkitaka wanaume zenu wawapende, wachieni wanaume zenu waowe wanawake wengine....Lazima mfahamu haya hakuna mwanaume amekuwa programmed afanye sex na mwanamke mmoja tu hapa duniani.
Najua wengi wenu mtasema what the heck am I talking about....Wewe chukulia umemruhusu mwanaume wako awe na mwanamke mwingine.
Huyo mwanaume atakuappreciate sana, na atakupenda sana na atawacha kucheat kabisa...He would cherish you, na atakuweka kwenye sehemu kubwa sana kwenye moyo wake.
Wanawake wengi lazima wajue wazi sex differs from love....Yani msidhani sex ndo love hata siku moja, kama mnadhani vile mjuwe mnajidanganya tu.
Mara nyingi sana ndoa zina fail sababu wanaume zenu wako mchaka mchaka kutafuta wanawake wa nje...Kwanini msiwakaribishe wanawake wengine ndani ya life za waume zenu, ili waaume zenu watulie na nyie.
Leo unakuta mwanamke analamika eti, mwanaume kabla ya kuoa lazima amishauri kwanza.
Akushauri vipi, wanawake mnapaswa kujiuliza swali moja tu...ingekuwa nyie ndo mnaruhusiwa kuoa wanaume zaidi ya mmoja...Mgeshauri wanaume zenu time ya kuoa, au hata mgetujali tutapenda au hatupendi? Aisay sidhani...Mana speed zenu ni kali kuliko zetu...mgekuwa kila siku mnaongeza wanaume.
Wasitokee hapa wengine wakaleta dini, mana mkiingia kwenye dini mjue mmeumia, mana hakuna kitabu cha dini kinaruhusu mwanamke aowe zaid ya mwanaume mmoja....Lakini vitabu vyote vya dini karibu vinaruhusu mwanaume aowe zaid ya mmoja.
Siku njema.
Hapo sasa hata Mungu alisha fahamu nyie mnaweza kujiicontrol, weldone, asifiwe aliye waumba.yaani member namba moja umenipata! Mbona fair tu.. Kila mtu anaenda kufanya majaribio kwingine tukirudi ndoa kama kawaida! Wanaume lazima muelewe hata sisi tuna hisia mnavyo fantasize about other women we do the same thing about other men only that we can control ourselves but U CANT!
Hapo sasa hata Mungu alisha fahamu nyie mnaweza kujiicontrol, weldone, asifiwe aliye waumba.
Na Mungu alijua ngoma iko kwa wanaume lazima waende nje, ndo mana katupa option tuowe na tusifanye sex kama wanyama.
Mana anaye fanya sex kabla hajaolewa au hajaowa ni sawa sawa na mnyama...Si una ona beberu na mbuzi , au paka na mbwa wanavyo pigana miti njiani.
Aisay asante sana kwa point yako nzuri, najua hutapendezewa kwa jawabu langu.
Sasa ndugu wewe na mimi hatuwezi kushindana akili na Mungu.Je, tukiigeuza hii thread ili iwe kwa ajili ya Wanaume kwamba wawaruhusu wake zao wawe na Wanaume wengi nje ya ndoa kwa sababu "sex differs from love." je, njembas tutakubali? au ndiyo yatakuwa yale yale mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu!?
Kwenye highlighted hapo mbona kawaida tu hakuna nilicho sema wrong.umepindisha point iwe at your favor lakini ujue mwanaume alie kamili huridhika na alicho nacho no woman is better than the one and only wife you have! hao wengine wanaoongezeka ni usanii tu mwisho mzoe magonjwa!
Sasa ndugu wewe na mimi hatuwezi kushindana akili na Mungu.
Hebu tazama point moja, chukulia wewe uruhusu mke wako afanye sex na mwanaume, mtoto akizaliwa nani atakuwa baba yake?
Usilete mambo ya DNA....DNA can give incorrect results.
Je, tukiigeuza hii thread ili iwe kwa ajili ya Wanaume kwamba wawaruhusu wake zao wawe na Wanaume wengi nje ya ndoa kwa sababu "sex differs from love." je, njembas tutakubali? au ndiyo yatakuwa yale yale mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu!?
LOL! Hivi akili za Mungu ulizijulia wapi!?..... yale yale ya mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu. Kwa hiyo wewe kuwa Baba kwa mtoto wa nje ni sawa lakini Mwanaume mwingine kuwa Baba wa mtoto kupitia mkeo ni kosa kubwa sana!!!!! Fungua macho kaka acha umimi!!!! Dunia ya 2012 ni tofauti na mwaka 47.
Hilo nalo neno....LOL.. Willl you....?:juggle: