Natumai hamjambo wanabodi.
Wakuu miaka ya sasa kumekithiri wimbi la watoto viburi na waloshindikana majumbani, sababu kubwa ya jambo hili nivile wanawake wanawapanga wanaume bt wakipata ujauzito wanawapa waume zao/wanaowapenda japo si damu zao...
Ni ngum sana mtoto usie na vinasaba nae akawa msikivu na mwenye upendo kwa mzazi asie baba halisi kwake, ndo maana utashangaa mtoto anakua jeuri na kiburi licha yakumuadhibu daily.
Nimeshuhudia kesi nyingi za namna hii na matokeo yake iligundulika watoto si wababa walopewa hivo wanawake wenye tabia za namna hii muache maana mnawaharibu watoto wenu nyie wenyewe.
Wakuu miaka ya sasa kumekithiri wimbi la watoto viburi na waloshindikana majumbani, sababu kubwa ya jambo hili nivile wanawake wanawapanga wanaume bt wakipata ujauzito wanawapa waume zao/wanaowapenda japo si damu zao...
Ni ngum sana mtoto usie na vinasaba nae akawa msikivu na mwenye upendo kwa mzazi asie baba halisi kwake, ndo maana utashangaa mtoto anakua jeuri na kiburi licha yakumuadhibu daily.
Nimeshuhudia kesi nyingi za namna hii na matokeo yake iligundulika watoto si wababa walopewa hivo wanawake wenye tabia za namna hii muache maana mnawaharibu watoto wenu nyie wenyewe.