Wanawake nao wapaza sauti zao kuhusu uteuzi wa MA -DAS

ibesa mau

JF-Expert Member
Sep 17, 2015
2,109
1,692
Kuna malalamiko kwamba uteuzi hauja zingatia jinsia , haiwezekana katika ma DAS 137 walio teuliwa wanawake wawe 21 tu . Wakati dunia inataka 50% kwa 50% jinsia zote katika vyombo vya maamuzi inaonekana kuna mipango ya kurudisha nyuma jitihada hizo. Tuishauri serikali yetu tukufu kwani hao wanawake ni 28.7 % .ya walio teuliwa
 
Kuna malalamiko kwamba uteuzi hauja zingatia jinsia , haiwezekana katika ma DAS 137 walio teuliwa wanawake wawe 21 tu . Wakati dunia inataka 50% kwa 50% jinsia zote katika vyombo vya maamuzi inaonekana kuna mipango ya kurudisha nyuma jitihada hizo. Tuishauri serikali yetu tukufu kwani hao wanawake ni 28.7 % .ya walio teuliwa

Mmejitenga na dunia halafu mnataka kujilinganisha nao? Mkitaka kujilinganisha katika teuzi msisahau pia kujilinganisha katika demokrasia
 
Kuna malalamiko kwamba uteuzi hauja zingatia jinsia , haiwezekana katika ma DAS 137 walio teuliwa wanawake wawe 21 tu . Wakati dunia inataka 50% kwa 50% jinsia zote katika vyombo vya maamuzi inaonekana kuna mipango ya kurudisha nyuma jitihada hizo. Tuishauri serikali yetu tukufu kwani hao wanawake ni 28.7 % .ya walio teuliwa
Unaposema Dunia ndivyo inavyo taka ni vema ukatoa References ya nchi zilizo endelea na jinsi zilivyo itumia hyo asilimia 50% kwa 50% katika teuzi mbali mbali na jinsi ilivyo tekelezeka
 
Hao ni asilimia 15 tu. Nchi nyingi nafasi kama hizo za administrators huwa wanawapa wanawake huwa wanazimudu sana. Magufuli na utawala wake hawana compromise na mtu, kitu ambacho kitawapa point nyingi sana sympathisers kunako 2020
 
Mambo hayawezwi kufanywa kwa kuangalia dunia inataka Bali hufanywa kwa kuangalia mahitaji na ubora na uwezo wa kitu husika. Tukifanya kila kitu kwa mtindo wa kuiga huko duniani tunaweza jikuta tunaiga mambo mengine ya ajabu kabisa.nyie wanawake mnaolalamika ni bora mueleze kwa nini mnastahili hizo nafasi na si vinginevyo.
 
Kuna malalamiko kwamba uteuzi hauja zingatia jinsia , haiwezekana katika ma DAS 137 walio teuliwa wanawake wawe 21 tu . Wakati dunia inataka 50% kwa 50% jinsia zote katika vyombo vya maamuzi inaonekana kuna mipango ya kurudisha nyuma jitihada hizo. Tuishauri serikali yetu tukufu kwani hao wanawake ni 28.7 % .ya walio teuliwa
Wajilaumu kwa kuuza kura zao kwa kanga na vilemba
 
50/50 sio rahisi ila kama kweli ni 21 tuu poleni. Huyu ni yule alie kiwa anasema naapa tena naaema kweli !! Kweli tupu nakwenda kuwa mtumishi wenu. Nasema haya na Mungu anisaidie. Leo!! Mhhhh!! Lakini mjifunze hakuna Ccm ambae ni tofauti na wana Ccm wenzake wote ni sawa. Fadhilaaa.......
Sisi tumezowea shida kwenu nyie Lumumba.
 
Hao ni asilimia 15 tu. Nchi nyingi nafasi kama hizo za administrators huwa wanawapa wanawake huwa wanazimudu sana. Magufuli na utawala wake hawana compromise na mtu, kitu ambacho kitawapa point nyingi sana sympathisers kunako 2020
Na aendelee kuwatosa hao kina mama maana walizidi kuishabikia ccm
 
Wanawake ndio walikua mstari wa mbele kwenye kale ka wimbo ketu ka kuisoma namba. Na kiitikio walikua wanakaitikia vizuri sana.
 
Acheni ujinga
Wafanye kazi waonekane na sio kulia lia kila siku
 
Hii term hatuangalii SURA na CHURA mlizonazo.

Tunaangilia ELIMU na UWEZO wa kwenda na kasi ya HAPA KAZI tu.

Teh! Fanyeni kazi, mlizoea mbeleko za UWT na CCM.
 
Back
Top Bottom