Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
nimejaribu kuangalia wahanga wa vita ya rwanda na burundi,ukienda kwenye kambi za wakimbizi utakuta ni wanawake na watoto kwa asilimia kubwa sana.
Nimejaribu kuangalia zoezi zima la UNYANYASWAJI WA KIJINSIA,nimegundua wahanga wakubwa hapa ni wanawake na watoto
Nimejaribu kuchunguza kwa makini sana katika janga zima la ukimwi,nimegundua wahanga wakubwa hapa ni wanawake na watoto,hata katika idadi ya walioambukizwa.
Nimeangalia pia hata katika milipuko ya mabomu ya mbagala,kwenye tv naona wahanga wengi hapa walikuwa ni wanawake na watoto
SASA JAMANI MIMI SIELEWI HAPA,kwanini haya yote yanatokea katika huo utaratibu?
Nimejaribu kuangalia zoezi zima la UNYANYASWAJI WA KIJINSIA,nimegundua wahanga wakubwa hapa ni wanawake na watoto
Nimejaribu kuchunguza kwa makini sana katika janga zima la ukimwi,nimegundua wahanga wakubwa hapa ni wanawake na watoto,hata katika idadi ya walioambukizwa.
Nimeangalia pia hata katika milipuko ya mabomu ya mbagala,kwenye tv naona wahanga wengi hapa walikuwa ni wanawake na watoto
SASA JAMANI MIMI SIELEWI HAPA,kwanini haya yote yanatokea katika huo utaratibu?