hivi hii tabia ya kusagana ni fasheni mpya imeingia mjini
au kuna tatizo kubwa limejificha?mbona wengi wanashiriki??
je wote ni ma lesb kweli au ni vipi?
hivi hii tabia ya kusagana ni fasheni mpya imeingia mjini
au kuna tatizo kubwa limejificha?mbona wengi wanashiriki??
je wote ni ma lesb kweli au ni vipi?
Hebu tuwekee source ya info/data kuthibitisha uyasemayo maana ni mazito kwelikweli.
sio kila kitu lazima kiwe na data, lakini kama wewe ni mwenyeji wa dar hicho kitu kimeenea sana we chunguza utaona
hivi hii tabia ya kusagana ni fasheni mpya imeingia mjini
au kuna tatizo kubwa limejificha?mbona wengi wanashiriki??
je wote ni ma lesb kweli au ni vipi?
...hata vitendo vya kishoga vimeongezeka mijini. Sasa sijui ni kweli tatizo kubwa limefichika au ni fasheni tu kama unavyosema...
Kwa mtizamo wangu, utandawazi na uhuru wa vyombo vya habari na serikali umewezesha kuweka huru mambo haya.
mifano (at your own risk!);
http://images.google.co.uk/imgres?i...mashoga+dar&gbv=2&ndsp=18&hl=en&sa=N&start=18
http://images.google.co.uk/imgres?i...mashoga+dar&gbv=2&ndsp=18&hl=en&sa=N&start=18
http://images.google.co.uk/imgres?i...w=93&prev=/images?q=shoga+taarabu&gbv=2&hl=en
hakuna wanaume wakutosha. Wengi wetu wanaume tukisha piga chupa mbili hatuna maana inabidi sasa wanawake wajushghulikie wenyewe.
huu unaweza kuwa umbea,, ila hawa watu kama ni kweli kuna kitu gani wanakipata?/
Thread inafit kwenye udaku na mambo yasio serious. Ushambenga.