Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Siku ikitokea walimu wakuu wa shule za msingi wakajitambua na kusimamia sheria ya kutowalazimisha wanafunzi kwenda kuwapokea viongozi wa ccm na ktk mikutano yao, wanaume wakawathibiti wake zao wasiende kupiga vigeregere ktk hiyo mikutano ya ccm naamini viongozi wa cc m watahutubia miti na ndege warukao.