mhalisi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,181
- 320
Siku hizi umeingia utamaduni katika nchi yetu ambapo kina dada wengi wanapenda kuvaa suruali kuliko kuvaa sketi au magauni kama ilivyo utamaduni wetu. Ni kwasababu gani dada zetu siku hizi wameacha utamaduni wa kuvaa sketi na magauni badala yake wanavaa suruali?