sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,846
Mengine unayaacha yapite tu meenzangu...
Sipati picha ya ya seke seke la chumvi huko kunako...
Unaweza ukaanza kucheza inde monii na kuimba kuchina.....
Kweli mwezangu ngoja niyaache...
Mengine unayaacha yapite tu meenzangu...
Sipati picha ya ya seke seke la chumvi huko kunako...
Unaweza ukaanza kucheza inde monii na kuimba kuchina.....
Kwanza asubui unaiunga name tea bag nimesahau cable ya laptop of sin nipo kwa phone ningekupa habari
Haina shida mwaya...ukiwa poa naomba hiyo habari hata kwa pm
Unapitwa so kidogo
Kesho dear
Nasikia una genye balaa unaweza kubaka majirani ngoja nikipata Wangu nitajaribu
Usikute tunamkomaza sister........bado mdogo.......
mchai we utumie tu hata kujiswafi ila ndio kama hivyo tena.........unatembea huku unakata..........chezeya mchaichai wewe...........
ishu hapa ni ignorance zaidi
sawa na wale wanatengeneza mkorogo huku hawajui ni sumu gani wanazi changanya