Wanawake na Mabadiliko ya hali ya hewa wao wameendelea kuliko wanaume!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,596
Tukiangalia kwa uhalisia wanawake wao wamepiga hatua kuhusu swala zima la mabadiliko ya hali ya hewa hasa kuhusiana na swala zima la mavazi hebu tuangalie Picha hii!!
Proof of global warming.jpg
If the trend continues, by 2015 there would be NOTHING to put on the lines!!!!!
 
Maana siku hizi kuna ambazo ni usi kama wakufungia viatu na kakipande kanguo mbele!!!!sehemu nyingine kama masai!!
 
:photo: Kweli kabisa, hujakosea. Tena hizo za kamba ukijaribu utatamani kuendelea nazo hata kwa sie old school. Labda tutarudi kule tulikotoka. Hujaweka miaka kabla ya karne ya 18 ilikuwaje. Wakati wakivaa kuziba mbele tu. Daaah! Nimecheka sana nyie watu mna vituko saa zingine.
 
Ila hilo la kamba nzuri hayse,kwenye emergence haicheleweshi watu inavutwa tu pembeni kidogo hala kazi kama kawa
 
Mbona miaka hii kuna wanawake wameshaanza kuvaa suruali za jeans za kubana bila hata kufuli ndani, wapo kabisa, Mi kuna mmoja namjua alikuwa ana tabia hiyo, but sio mara nyingi alikuwa anafanya hivyo, sijui ni huyo jibaba lake la kizungu lilimfundisha au aliamua mwenyewe tu kujiachia hivyo sometimes.
 
Good, I enjoyed reading the comments. Hapo mahala panapendwa sana sijui kwa nini?
 
Back
Top Bottom