ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,547
- 44,699
Unakuta mwanamke anajua kabisa anatongozwa atatoa namba atapenda mchati lakini ukimwelezea shida yako anakukataa..sasa mnataka mazoea ya nini mtu kama humtaki si u mblock tu au umtukane ajue uko serious ..sasa unakuta mtu anakuchekea chekea afu ukimwomba zaga anakuletea story nyeusi..kama kuna huyo demu wangu nimemkuta na meseji za mwanaume anamwomba mechi nimemuuliza demu ananiambia eti jamaa anamtaka..sasa ishu inayotakiwa ni kwamba kama humtaki mtu usichati naye usisubiri kuona anavyokutongoza we mkaushie tu..habari za kupenda penda ubest na wanaokutaka ni za kiwack.jitegemeeni
Kijana nimemaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana nimemaliza
Sent using Jamii Forums mobile app