Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,771
- 2,000
I got boner baada ya kusoma haya maandishi huku nikikutengenezea imagination haya maneno ukiyasemaJamani!! kuwakumbusha wajibu wenu siyo maneno machafu! niombe samahani!! aliye sema ''mtakula kwa jasho lenu'' .... siyo mie!.. mnamjua fika!!.....kosa langu mie nini?? hadi unihukumu ivo?? usijitoe ufahamu???...na bado..
kazi yangu mie ni kuzaa kwa udhuungu!! baasi!! mbona hunihurumii?? mkuu usikwepe, Beba zigo lako babu!! hata usemeje hkn unafuuu!! ndo unajirogaaa!...jitahidi uwezavyo upende kazi hata za hovyo weye fanya tu! ili mradi dumekazi.
kwanza! dume Hutaki fanya kaziiii '' Rhuksa kwa sirikali olewa!! saabu mnamatumizi mbili Front side na Back side? ni me' wengi tuu walioshindwa kazi wanageuzwa!! lengo ni ili upewe Km mie navopatiwa!! km unaona wivu navopewa!!!
Onyo tu! nisijue kuwa kunguru wa manzese anashikishwa!...nikijua utayamba kifukuto!
Anyway umeongea point na wala usichoke kutuelimisha bibie smaki
Ni kweli ni wajibu wetu