Natumai hamjambo wakuu.
Wanaume tunaumia sana tukijua/kuhisi kua wake zetu/wenza wamechepuka, maumivu haya kwetu sisi ni zaidi ya msiba coz hutufanya tufikirie labda hatujiwezi au hatuna thamani tena kwa wenza wetu.
Tafadhali nawaombeni sana kupitia uzi huu mtupatie mwongozo wa mambo yoote ambayo tukiwafanyia kamwe hamtoweza kuchepuka.
Wanaume tunaumia sana tukijua/kuhisi kua wake zetu/wenza wamechepuka, maumivu haya kwetu sisi ni zaidi ya msiba coz hutufanya tufikirie labda hatujiwezi au hatuna thamani tena kwa wenza wetu.
Tafadhali nawaombeni sana kupitia uzi huu mtupatie mwongozo wa mambo yoote ambayo tukiwafanyia kamwe hamtoweza kuchepuka.