mwanahabari93
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 263
- 169
Naomba kujua kutoka kwa wakina dada,
Hivi mwanaume akikutoa bikira unakuwa na mapenzi nae ya dhati au mnakuwa mnafikiria nini kutoka kwa huyo aliekufungulia njia?
Hivi mwanaume akikutoa bikira unakuwa na mapenzi nae ya dhati au mnakuwa mnafikiria nini kutoka kwa huyo aliekufungulia njia?