Wanawake mnavyotusevu kwenye simu

Kuna siku nipo kwny foleni bank simu ya mdada mbele yangu ikaita jina limetokea Lifemate nikasema kama ndio demu wako ukimhoji anakwambia huyu mfanyakazi wa pale Lifemate furniture


Humu kuna vitu vimefichama
 
Nakusave jina lako kama unavyotambulika na Serikali ama la sikusave kabisa. Wa JF ndo naandika mbele JF. Ila mtaani aaah boss nakusave kama serikali tu
 
Huwa nasave jina la mtu...hata kama ni member wa jf namuandika jina lake na sio Id ya humu labda atake yeye
 
Back
Top Bottom