Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Habari za mchana wana MMU,
Kama title inavosema hapo juu.
Mara nyingi katika huduma tofauti wanawake wanapenda na kufurahia sana wahudumiwe na wanaume. Ikiwa ni restaurant au bar kama kuna wahudumu wa kike utaskia lawama 'basi wahudumu wa kike wa hii bar wanajivuuta sana' au 'wanaringa sana'. Utashangaa hata fundi wa kushona nguo za kike wapo radhi kum support kwanza fundi mwanaume kuliko mwanamke mwenzao.
Juzi uliletwa uzi humu kuhusu waosha miguu wanaume na mtazamo wa jamii. Ninahakika hata wakitokea waosha miguu wa kike, wengi katika wanawake watapendelea zaidi kusuguliwa miguu na kuoshwa kucha na wanaume.
Kwenye huduma za afya napo hasa katika matibabu yanayohitaji madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake ( gynecologists) wanawake always watapendelea kuhudumiwa na madaktari wanaume.
Yupo dada mmoja alikua anamtafuta Gyno akaelekezwa kwa Doctor Bingwa anaitwa Thomas(ni jina lake la ubini wake maana yeye anaitwa Angela) basi yule dada hakuingia kuhudumiwa na Dr Angela.
Ingawa yawezekana hii ni case ya mtu mmoja lakini in most cases wanawake huhitaji huduma ya mwanaume zaidi (fanya tafiti kwa wajawazito wanaokaribia kujifungua) na kama kuna mwanamke inakua ni second option.
Nauliza wakuu hii ni kasumba, kutojiamini kwa jinsia hii au ni kweli wanaume wanatoa huduma nzuri kwenye kila sekta?
Kama title inavosema hapo juu.
Mara nyingi katika huduma tofauti wanawake wanapenda na kufurahia sana wahudumiwe na wanaume. Ikiwa ni restaurant au bar kama kuna wahudumu wa kike utaskia lawama 'basi wahudumu wa kike wa hii bar wanajivuuta sana' au 'wanaringa sana'. Utashangaa hata fundi wa kushona nguo za kike wapo radhi kum support kwanza fundi mwanaume kuliko mwanamke mwenzao.
Juzi uliletwa uzi humu kuhusu waosha miguu wanaume na mtazamo wa jamii. Ninahakika hata wakitokea waosha miguu wa kike, wengi katika wanawake watapendelea zaidi kusuguliwa miguu na kuoshwa kucha na wanaume.
Kwenye huduma za afya napo hasa katika matibabu yanayohitaji madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake ( gynecologists) wanawake always watapendelea kuhudumiwa na madaktari wanaume.
Yupo dada mmoja alikua anamtafuta Gyno akaelekezwa kwa Doctor Bingwa anaitwa Thomas(ni jina lake la ubini wake maana yeye anaitwa Angela) basi yule dada hakuingia kuhudumiwa na Dr Angela.
Ingawa yawezekana hii ni case ya mtu mmoja lakini in most cases wanawake huhitaji huduma ya mwanaume zaidi (fanya tafiti kwa wajawazito wanaokaribia kujifungua) na kama kuna mwanamke inakua ni second option.
Nauliza wakuu hii ni kasumba, kutojiamini kwa jinsia hii au ni kweli wanaume wanatoa huduma nzuri kwenye kila sekta?