Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,743
- 14,667
Nipo hospital hapa pembeni yangu wamekaa mademu 2 wanashauriana ujinga
Demu 1: mume wako ushamfuma mara kibao na wanawake na wewe Hali yako ndio kama hivi hauwezi kupata watoto tena, nakushauri mwambie akabane mirija yake ya kutoa sperms ndio atatulia hatozaa zaa nje watoto tena
Demu 2(mwenye mume kicheche): eh?! Kumbe inawezekana we, kwani inafanyika Tanzania iyo prosija?!
Demu 1: Ndio hata agha khan wanafanya, Jonas ubane mirija ya mumeo, atakuzalia Kila sehemu akifa unafanyaje kwenye miradhi mama
Kwako mpenzi msomaji:
Ivi kumkata mirija ya sperms mwanaume wako ndio kumkomoa au ndio mapenzi?! Hakunaga njia nyingine ya kumfanyia lockdown bwanako asizae zae ovyo nje??
Demu 1: mume wako ushamfuma mara kibao na wanawake na wewe Hali yako ndio kama hivi hauwezi kupata watoto tena, nakushauri mwambie akabane mirija yake ya kutoa sperms ndio atatulia hatozaa zaa nje watoto tena
Demu 2(mwenye mume kicheche): eh?! Kumbe inawezekana we, kwani inafanyika Tanzania iyo prosija?!
Demu 1: Ndio hata agha khan wanafanya, Jonas ubane mirija ya mumeo, atakuzalia Kila sehemu akifa unafanyaje kwenye miradhi mama
Kwako mpenzi msomaji:
Ivi kumkata mirija ya sperms mwanaume wako ndio kumkomoa au ndio mapenzi?! Hakunaga njia nyingine ya kumfanyia lockdown bwanako asizae zae ovyo nje??