Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
Mara kwa mara utasikia wanawake wakipiga kelele wakitaka haki sawa na wanaume zao wengine wanashikilia mabango mtaani huku wakiandamana wengine wanaenda mpaka mahakamani wakidai haki zao.
Ila jueni nyinyi wanawake mnaojifanya kudai haki sawa kwa wote hukumu ya mungu inawasubiri jueni kazi ya mungu haina makosa na mungu ajakosea kumfanya eva kuwa msaidizi wa adamu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila jueni nyinyi wanawake mnaojifanya kudai haki sawa kwa wote hukumu ya mungu inawasubiri jueni kazi ya mungu haina makosa na mungu ajakosea kumfanya eva kuwa msaidizi wa adamu....
Sent using Jamii Forums mobile app