Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,934
Wakupimwa huyoTumeambiwa tuishi nanyi kwa akili unakuta mwanamke unamwambia kuna kiwanja unataka kununua hata hujalipa kashaanza visa kwa mama mwenye nyumba na kuposti kwenye group lao la mtaani kwaherini tunaamia madale