Pumzika Kwa Amani JPM.
Hivi bwana mahadware yupo hapo Moro? Mwambie anasalimiwa nami.Nishikeni jamani nisije ua ntu mie...mie ni anti ccm....Samia atupe vipaumbele wanawake jaman( this is serious)...Heko wanawake tufungue makampuni na sisi tubid hizo tender za serikali...kama najiona napewa tender ya kukarabati karavati na mifereji ya mkoa wa Moro...itabidi wanaume mtafute kasayari kenukwa 4yrs maana mshaanza jiuma uma..mtajuuutraaa!
Mimi ntakusaidia kukurebisha na pia akisoma mumeo au mtoto ukijapata atashukuru kujifunza. Sitakudai hata shilling. Nafanya kwa uzalendo tu na mapenzi yangu kwa wananchi nyie wanyonge ambao hamkupata Elimu nzuriHata ningekuwa na miaka hamsini ya kujua kiswahili au english humu JF nitazidi tu kuandika broken yangu na hamna wakunipangia maisha na nitakacho humu
Sihitaji kurekebishwa wala wakunisoma awe babu, mume I don't care weeMimi ntakusaidia kukurebisha na pia akisoma mumeo au mtoto ukijapata atashukuru kujifunza. Sitakudai hata shilling. Nafanya kwa uzalendo tu na mapenzi yangu kwa wananchi nyie wanyonge ambao hamkupata Elimu nzuri
Huyu mama wa nyumbani naw anadai ni rais wao, kapata fursa gani?Hawajakosea kwao ni fursa
Nawe mwanaume gani Tena? Kama mkeo anakunyanyasabkisa mama Samia kawa rais piga chini akaolewe na picha ya Samia.Rais ahakikishe haki zetu wanaume zinalindwa maana wanawake washaanza kutunyanyasa wengine wameanza kutunyima hata mambo ya mahaba tafadhali hili liangaliwe sana.
SimfahamuHivi bwana mahadware yupo hapo Moro? Mwambie anasalimiwa nami.
Mie mwanaume anayejistukia nampenda balaa...yaan atajuta...sasa ww kinachofanya ujistukie ni nn? Hamjui tu..mwanaume atabaki kuw mwanaume nomatter what..uanaume wenu unajua mnaushusha wwnyewe...hivi kwanini mnaomaga mnadhalilishwa? Ohh kama unahis unadhalilishwa si ujitume mara 4 ya mwanMke uwe na hela zako??hehehehe....Mna malengo ya kutudhalilisha.....
ndio maana mm sipendi mwanamke apewe power.....
manake mnaweza kutufanyisha kazi ambazo kiasili sio zetu.....
kama walikuwa hawapewi vipaumbele angekuwaje makamu kipindi cha Magu?Nishikeni jamani nisije ua ntu mie...mie ni anti ccm....Samia atupe vipaumbele wanawake jaman( this is serious)...Heko wanawake tufungue makampuni na sisi tubid hizo tender za serikali...kama najiona napewa tender ya kukarabati karavati na mifereji ya mkoa wa Moro...itabidi wanaume mtafute kasayari kenukwa 4yrs maana mshaanza jiuma uma..mtajuuutraaa!
Ndo hivyo...kama walikuwa hawapewi vipaumbele angekuwaje makamu kipindi cha Magu?
Nani alishawanyima kufungua kampuni
Hawana tofauti na yule aliyemshukuru Rais kwa kuleta solar eclipse 2016Kuna baadhi ya Wanawake wameanza kuchanganya mambo wanadhani Mhe. Samia ni Rais wa Wanawake, napata wakati mgumu kuwaelimisha kuwa huyu si Rais wa Wanawake. Ni Rais wa Tanzania. na hili wanapaswa kuelimishana.
Kuna wadada wameandika "hatimaye tumepata Rais wetu sasa" mwingine kaandika "Wanawake tunaweza huu ndo wakati wetu".
Ntakurekebisha... Utake usitake. Yaani ukosee... Hakafu tuache na watoto wengine nao wawe wanafanya makosa hayo hayo? Ntakurebisha na ukiwa mbishi utapigwa tu.Sihitaji kurekebishwa wala wakunisoma awe babu, mume I don't care wee
utajichosha mwenyewe nakwambiaNtakurekebisha... Utake usitake. Yaani ukosee... Hakafu tuache na watoto wengine nao wawe wanafanya makosa hayo hayo? Ntakurebisha na ukiwa mbishi utapigwa tu.