Nauona wanwake mnasumbuka wakati mmejaliwa!!Unakuta mwanamke Jeans,Skintite,kufuli vyote vya nini?
Hivi gauni sindo vazi lenu??kama ndo hivyo simnge vaa na kufuli disgn kama gauni??kuliko sasahivi mnavyopata tabu!!na joto hebu badilikeni!!
Wanajifanya wanaenda na wakati wakati hakuna lolote,shida tupu zimewajaaaa,utakuta bint kavaaa vitu vya ajabu unadhani anaenda kujinyonga,badilikeni plzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
Nauona wanwake mnasumbuka wakati mmejaliwa!!Unakuta mwanamke Jeans,Skintite,kufuli vyote vya nini?
Hivi gauni sindo vazi lenu??kama ndo hivyo simnge vaa na kufuli disgn kama gauni??kuliko sasahivi mnavyopata tabu!!na joto hebu badilikeni!!
KK wewe unataka upate kiulaini hiyo haipo rafiki pole wewe tutaendelea kuvibana mpaka basi
Hujawaambia unataka wabadilike waweje
samahani KakaKiiza .. Mwanamke ni mavazi...
mavazi can be an expression of individualism mixed with charisma.
Nauona wanwake mnasumbuka wakati mmejaliwa!!Unakuta mwanamke Jeans,Skintite,kufuli vyote vya nini?
Hivi gauni sindo vazi lenu??kama ndo hivyo simnge vaa na kufuli disgn kama gauni??kuliko sasahivi mnavyopata tabu!!na joto hebu badilikeni!!
ur right
duuuuh naona leo umeniamkia....lol
just trying to be your todays
hahahahah lol and ur doing great job..lol
hope i ll be considered!
yours faithfully
hashycool.
Nauona wanwake mnasumbuka wakati mmejaliwa!!Unakuta mwanamke Jeans,Skintite,kufuli vyote vya nini?
Hivi gauni sindo vazi lenu??kama ndo hivyo simnge vaa na kufuli disgn kama gauni??kuliko sasahivi mnavyopata tabu!!na joto hebu badilikeni!!
Kama underskt!!full kujiachia!!wewe unaonaje!
Wanajifanya wanaenda na wakati wakati hakuna lolote,shida tupu zimewajaaaa,utakuta bint kavaaa vitu vya ajabu unadhani anaenda kujinyonga,badilikeni plzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz