Kama underskt!!full kujiachia!!wewe unaonaje!
mi naona kakakiiza anataka kutukataza kuvaa kufuli ila anashindwa aliseme vipi.
mara kufuli liwe dizain ya gauni,mara oooh hata usipovaa kufuli anda sket inatosha hmmmmmm labda vazi la beach
Nauona wanwake mnasumbuka wakati mmejaliwa!!Unakuta mwanamke Jeans,Skintite,kufuli vyote vya nini?
Hivi gauni sindo vazi lenu??kama ndo hivyo simnge vaa na kufuli disgn kama gauni??kuliko sasahivi mnavyopata tabu!!na joto hebu badilikeni!!