Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Wanawake mlioolewa acheni kulalamika lalamika kwamba maisha magumu wanaume zenu hawawapi hela za matumizi wala za mtaji.
Kama mumeo hakupi hela ya matumizi au umemuomba hela ya mtaji kakuvungia, we nenda kazini kwake anza kuuza uji alafu hakikisha watu wote wanakujua kuwa ni mkewe.
Acheni kukaa na kulalamika lalamika tu hakuna mtu atakuja kukuletea mabadiliko, mabadiliko ni wewe mwenyewe.
Cc Zero iq
Kama mumeo hakupi hela ya matumizi au umemuomba hela ya mtaji kakuvungia, we nenda kazini kwake anza kuuza uji alafu hakikisha watu wote wanakujua kuwa ni mkewe.
Acheni kukaa na kulalamika lalamika tu hakuna mtu atakuja kukuletea mabadiliko, mabadiliko ni wewe mwenyewe.
Cc Zero iq