Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,113
- 4,741
- Thread starter
- #21
Kuna tofauti kubwa kati ya kuona na kutazama, kuona ni nature ya binadamu tu kwamba macho yanafanya kazi lazima yaone. Kutazama ni choice hivo co lazima utazame kila kitu unachokiona. Kuwatazama wanawake wazuri ni utumwa wa ngono tubadilike tuwe tunawaona tu ila,tusiwatazame
Kutazama ni utumwa wa ngono.? Who said it.?