Dogo vale
Member
- Jul 18, 2013
- 17
- 1
mimi ni kijana mwenye umri 20 years nilikua na kamanzi kamoja kimahusiano
lakini siku ya siku kalibadilika na kunifanyi madharau c ndo tukatibuana kumbe kalikua
kamepata new boyfriend muda kama wa wiki mbili c kamejirudisha kenyewe sasa nifanye nini
na kandai katanipenda ki ukweli
lakini siku ya siku kalibadilika na kunifanyi madharau c ndo tukatibuana kumbe kalikua
kamepata new boyfriend muda kama wa wiki mbili c kamejirudisha kenyewe sasa nifanye nini
na kandai katanipenda ki ukweli