corasco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 3,665
- 3,385
Bora kidogo unakua umepata airtime.Kwaiyo ni heri ukadanganywa upotezewe muda?
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Bora kidogo unakua umepata airtime.Kwaiyo ni heri ukadanganywa upotezewe muda?
Hivi unadhani rahisi mwanamke kuconfess hisia zake kwa mwanaume..ujue ikiwa hivyo amekuheshimu sana.ukimpiga chini ni kufuli tu linatembea hakuna namna...ukiona anachecheka na wewe ujue hakukupenda sharp.sasa we unataka uwe unakubaliwa tu ?
Mkuu ukiona mwanamke anaanza kuleta hayo mambo kupenda kwako kama humtaki punguza mazoea yani ukiwa nae kuwa siriazi kabla hajafika mbali.ila ukimwacha mpaka anakuambia anakutaka hapo sasa ukikataa visa lazima vianze tena usiombee awe na cheo kukuzidiYaan mkuu nliumbwa na sura flani
Sasa nkawa na date na mdada mmoja kazini baada ya muda wakaja wadada wapya wengine kipindi tofauti tofauti
wakaonesha ishara za kutaka kuingia ktk mahusiano sasa mm nkawachukulia easy tu kama rafiki wakafahamu nna mahusiano
Basi wakaanza chuki leo hii ni maadui wakubwa kazini lkn kisa kilianza tu katika mapenzi
Ni wanaume wachache wanaelewa ili swala na wanaume wa aina hata wanawake wanawaheshimu kwa sababu wanakuwa smart kuchagua wanawake hii inaonesha upo na hadhi na unajiheshimu ,sio kila mwanamke atapata nafasi et kisa una K,sijui mzuri,umeumbika.yani kiufupi wapo na misimamo yao huwezi kuta wanaendeshwa hovyo na wanawake pia hata Mungu mwenyewe anapenda kuwatumia kwa sababu ya kuwa imara kwa kile anachosimamiaIfike mahala wanaume tuelewe sio kila mwanamke ni wakuwa nae kwenye mahusiano...kama huna mipango nae ni heri tu ukafanya mambo mengine...
Sasa umenikataa nikuchekee ili iwe nini, si bora hata nimekuchunia ilitakiwa tukikutana nikumwagie mchanga...
Ananichezea au tunachezeana??!Hapa ndo mnaponishangazaga wanawake...mnaomuona bora mwanaume anayewachezea na kupotezea muda..kuliko yule anaewaambia ukweli na kuepusha na mfadhaiko...aisee
Mpe mimbayupo dem mmoja kila sku namkataa, ni mwaka wa pili sasa hakati tamaa maskini.
Aya bhna mmenifundisha kitu...sasaivi ni HIT & RUNAnanichezea au tunachezeana??!
Ye anajuaje mi simchezei....
Miaka yangu kwako haisadiii chochote...Una umri gani !?
Kuna wanawake watamu wewe!!!ukihit unanasia....yani kama panya kwenye mtego.Aya bhna mmenifundisha kitu...sasaivi ni HIT & RUN
Simuangalii mtu usoni
nilimwambia niwe nakgng tu baas uridhike...hataki anataka mahusiano...Yaani baasi tu ilimradi.Mpe mimba
Haya maswala haya...Kuna wanawake watamu wewe!!!ukihit unanasia....yani kama panya kwenye mtego.
haya mambo ndo yanasababishaga masingle mother's wawe wengi...kinachichangia kukataa mimba moja wapo ni kutompenda mwanamke....ukiwa unampenda mwanamke ni ngumu kukataa mimbanilimwambia niwe nakgng tu baas uridhike...hataki anataka mahusiano...Yaani baasi tu ilimradi.
na ukiwaambia ndo kama hivyo mkuu..haya mambo ndo yanasababishaga masingle mother's wawe wengi...kinachichangia kukataa mimba moja wapo ni kutompenda mwanamke....ukiwa unampenda mwanamke ni ngumu kukataa mimba
Sasa kuepusha yote aya...ni heri tuwaambie ukwel tu