Eeeh au wewe unatakajekwahiyo unataka dakika hiyohiyo ukitongoza akubali
yaap ili akupachike jina jipya hapohapo la maharage ya mbeya maji mara mojakwahiyo unataka dakika hiyohiyo ukitongoza akubali
unataka mtu akubali hapohapo halafu akija kukukataa mbele utasema kakuacha sio?Najiuliza sipati jibu haraka kwanini wanawake huwa mnakataa mkitongozwa? na baada ya muda jamaa akikomaa huwa mnkubali kirahisi!
Naomba mninijibu nyie akina dada.
Over
tehe tehe tehe umeona kazi hiyo sasayaap ili akupachike jina jipya hapohapo la maharage ya mbeya maji mara moja
Jinsi unavyonisumbua ndo unazidi kuingia moyoni..Najiuliza sipati jibu haraka kwanini wanawake huwa mnakataa mkitongozwa? na baada ya muda jamaa akikomaa huwa mnkubali kirahisi!
Naomba mninijibu nyie akina dada.
Over