miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,973
kukimbizwa kimbizwa raha sana, kutekenywa hapa na pale ni safi zaidi... unajisikiaje unaposikia njaa halafu unajua chakula tayari ila hakiletwi mezani na huna njaa au hamu ule msisimko ndiyo tunataka muupate ..
USIKUBALI HARAKA HARAKA
USIKUBALI HARAKA HARAKA