Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 1,832
- 3,479
Hizo nafasi huwa wanazipata wasiozimudu
Sawa😃Haijawahi tokea
Hizo nafasi huwa wanazipata wasiozimudu
Sawa😃Haijawahi tokea
Bora tu huu mwaka uishe🤔🤔Ndo kwanza tarehe 03 leo
Bora tu huu mwaka uishe
Mnatunyanyasa sana nyie hamjui tuhii ya mwaka mpya
wanaume wanataka maandalizi...................
wamechoka kuparamiwa bila maandalizi
Huwajui mademu wa kichaga wewe,kama umemuahidi hela baada ya show atawaza hela tu,au kesho kikoba kinavunjwa,utasugua uchubuke ***** zao
Appreciate you so much!Hahah hapana, maandilizi nayafanya mwenyewe kichwani...
Ukifika muda wa mechi ni kupiga kipyenga na mchezo kuanza...
PALESTINA WAZURI WA SURA, RANGI, SHAPE, NA IDEA ZA BIASHARA.Aaah kumbe unawazungumzia wapalestina....
Hao wana changamoto nyingi sana....
Kwenye kikao Katibu alisisitiza hao liwe chaguo la mwisho sana unapotaka kuchagua mwenzi..
Japo mwenyekiti alitaka vijana wasioe kabisa hao watu(jambo nililounga mkono)..
PALESTINA WAZURI WA SURA, RANGI, SHAPE, NA IDEA ZA BIASHARA.
HUKU KWINGINE HAWAHUSIKI
ZILE KITU NI KWA AJILI YA HAJA NDOGO TU