masara
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,738
- 2,279
Heri ya mwaka mpya.
Niende kwenye mada moja kwa moja, kwa dada zangu ingawa sio wote ila walio wengi. kwa wale wanaume maabaharia wanaelewa namaanisha nini ila kwa wale waaminifu kwenye mahusiano yao sio rahisi kuelewa.
Unakuta uko na mwanamke faragha kwa ajili ya shughuli moja tu ya kuvunja amri ya sita bila huruma, sasa unakuta mwanaume unajituma kumuandaa mwenzako lakini mwanamke yupo tu anakuvutia hisia yaani akijitahidi sana anaweza fanya vitu vitatu au viwili.
Yaani kushika ndizi hadi aone imesimama, au kukupa denda ila kama ni mtalaamu wa kula koni basi atajitutumua hapo akijua ndio kamaliza.. na wanawake huwa mnahisi ni nyie tu ndio wa kuandaliwa na sio nyie kumuandaa mwanaume....
Halafu mda wa tendo ndio kabisa, unakuta mwanamke yuko bize kukata mauno tu au kukutengea kama gogo na kuvuta shuka la tandiko.
Wewe mwanaume ndio ujihudumie mwenyewe note ni kwamba wanawake msikariri kwamba ni nyie tu ndio mfanyiwe romance na we pia hakikisha mwanzo mwisho unatoa ushirikiano wa kutosha
Niende kwenye mada moja kwa moja, kwa dada zangu ingawa sio wote ila walio wengi. kwa wale wanaume maabaharia wanaelewa namaanisha nini ila kwa wale waaminifu kwenye mahusiano yao sio rahisi kuelewa.
Unakuta uko na mwanamke faragha kwa ajili ya shughuli moja tu ya kuvunja amri ya sita bila huruma, sasa unakuta mwanaume unajituma kumuandaa mwenzako lakini mwanamke yupo tu anakuvutia hisia yaani akijitahidi sana anaweza fanya vitu vitatu au viwili.
Yaani kushika ndizi hadi aone imesimama, au kukupa denda ila kama ni mtalaamu wa kula koni basi atajitutumua hapo akijua ndio kamaliza.. na wanawake huwa mnahisi ni nyie tu ndio wa kuandaliwa na sio nyie kumuandaa mwanaume....
Halafu mda wa tendo ndio kabisa, unakuta mwanamke yuko bize kukata mauno tu au kukutengea kama gogo na kuvuta shuka la tandiko.
Wewe mwanaume ndio ujihudumie mwenyewe note ni kwamba wanawake msikariri kwamba ni nyie tu ndio mfanyiwe romance na we pia hakikisha mwanzo mwisho unatoa ushirikiano wa kutosha