Wanawake kuweni na huruma

kumteme

JF-Expert Member
Jun 6, 2017
282
160
Wakuu kumekuwa na tabia ya hawa madem zetu kuomba omba hela oo mara hela ya kusuka ooo mara hela ya nguo hivi nyie dada zetu mnao omba vipi hamna wazazi wenu ama ndio maana tuna hit and run sababu ya kuombwa ombwa hela kila kukicha mapenzi sio pesa dada zangu mm naomba mbadilike maana mmezidi samahani kama nimewakosea
 
Wewe kama huna helaa kaa kimyaa waachie wenye nazooo sasa usipo mpendezesha wewe unataka nani ampendezesheee!??? Na kwanini usubiri mpk akuombe km unamjali si uwe unampa.. Alaaaaaa po ....mb
...fooo

duh mkuu imekuturch sana au na ww ndo wale wale
 
Wewe kama huna helaa kaa kimyaa waachie wenye nazooo sasa usipo mpendezesha wewe unataka nani ampendezesheee!??? Na kwanini usubiri mpk akuombe km unamjali si uwe unampa.. Alaaaaaa po ....mb
...fooo

duh mkuu imekuturch sana au na ww ndo wale wale
 
sijui hata wakoje yaani, akikupigia simu kabla ya kuomba wamwabia akukopeshe hela akikuomba kweli huyo nunda:D:D:D
 
c ndo maana kabla hujampata unamuhongahonga kidogo siku akikupa kibox manyoya au nyama mbichi huduma inaishia hapo
 
wala sijazini....ninachosema ni kuwa nachukiaaaa...nachukia sana hawa kina dada kila wakati nipe hela sijui ya kusuka sijui ya kazi gani...sikupi hata shilingi..kwani ananipa nani mimi?..kila time wao ni ombaomba..ukuniomba hela nakupiga chini!!sisemi ni mchoyo kwani ombaomba nawatolea kiroho safi,michango ya mitaani nimo,ila kimtu kizima na miakili imejaa kichwanu mbona nikipe hela?..hela sio zawadi aisee!!.wenyewe tumechacharika sana kabla hatujapata wewe utokee utokako uanze kuombaomba?..hebu shika adabu zako jamani!!
 
Eti hit and run. Now days wanaume wa ukweli wana hit,hit,hit and hiiiit atarun yeye. Kama huna ela piga kimya. Wenye nazo watatoa buana.
Kwanza sh ngapi?
 
Back
Top Bottom