Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,866
- 13,287
Mtoa mada hata wanawake na wake za watu wana mipango na nia njema kwa michepuko yao.
Swala la ndoa kufanywa kama hisani kwa mwanamke ndio linaloumiza watu wengi.
Ila usipende sana kuwa msuluhishi wa mapenzi ya watu, utakuja kupata aibu Mkuu.
Swala la ndoa kufanywa kama hisani kwa mwanamke ndio linaloumiza watu wengi.
Ila usipende sana kuwa msuluhishi wa mapenzi ya watu, utakuja kupata aibu Mkuu.