Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 685
- 622
Ukisikia yalaaaaah! Ujue limempata
Non sense....
....kwa kuwa mtu kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake." uwache mawazo ya risasi.Kizazi hiki tuna tabu sana kwa aina ya sample ya wanawake tunaotarajia kuoa.
Unaweza kumtwanga mtu risasi 100 eti
hahah tena wewe zinakuhusu....kwa kuwa mtu kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake." uwache mawazo ya risasi.
Kwa hali ilivyo huku mtaani,kila mwanaume wa aina yoyote na wa sifa zozote,ziwe mbaya au nzuri,wanaweza wakaoa muda wowote.Rejea moto wa kisulisuli ulivyowakusanya wadada pale mlima wa moto.Kwahiyo hao watu wenye mama tu wakikataliwa na wanawake utaolewa wewe au?
ziniepuke kabisa...mtu ukiona things are not working huwa tunaondoka sio unangoja hadi risasi au gunia za mkaa.hahah tena wewe zinakuhusu
kwann mkuuKizazi hiki tuna tabu sana kwa aina ya sample ya wanawake tunaotarajia kuoa.
Unaweza kumtwanga mtu risasi 100 eti