unajua kusudi la adhabu ni kumfanya yule aelewe kuwa alichofanya sio kizuri na kuwa kisirudiwe tena.....pia adhabu inatakiwa ilingane na kosa plus 10%. hivyo basi kunyima unyumba ni moja wapo ya adhabu na kama kweli kumyima inamfanya asirudie hilo kosa basi ni adhabu sahihi
muulize yule pashkuna mwenyekiti wa umoja wa wanawake wa magamba aliwashauri wanawake wawanyime unyumba waume zao walioko katika vyama vya upinzani
wewe ni She au He?Ni sahihi kabisa!
wewe ni She au He?
Wanaume wengi sex ya nyumbani huiona kama bughudha, wanaifanya kutekeleza majukumu yao kama MME, lakini sex iliyo tamu ni ya nje. Hivyo ukimnyima unyumba ni kama unamsaidia, manake anakamua nje halafu akija nyumbani hadaiwi
Wanaume wengi sex ya nyumbani huiona kama bughudha, wanaifanya kutekeleza majukumu yao kama MME, lakini sex iliyo tamu ni ya nje. Hivyo ukimnyima unyumba ni kama unamsaidia, manake anakamua nje halafu akija nyumbani hadaiwi