Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,868
- 19,258
Kutokana na mkipuko nchini Lebanon, raia wengi wa Kikenya ambao wengi wao ni watumishi hohehahe kwenye mataifa mengi duniani hasa uarabuni na hivyo kutuma remittances nyingi kwao, watelekezwa na maboss wao kutokana na mlipuko Lebanon
Kenyan women and children abandoned on the street outside their consulate in Beirut. No work, nowhere to live, no help to go home from their diplomats.
Kenyan women and children abandoned on the street outside their consulate in Beirut. No work, nowhere to live, no help to go home from their diplomats.