Wanawake kusema ukweli nyie ni wachoyo na vitu vyenu!!

uwiii hakuna msichana anayetaka kuwa soko kuu...
ila baadhi wanafanya hayo ajili shida.....na wengine ni life choice...

mmhhh lakini ka mtu umeolewa mmhhh 24/7 availability ...
but have to go both ways....

hapa ntahitaji mwongozo toka kwa kijana wangu TF.....
 
hapa ntahitaji mwongozo toka kwa kijana wangu TF.....

Doh!!!! Na mimi nimekwama nimejaribu kuvaa miwani lakini bado sioni vizuri ngoja akirudi atujuze vizuri maana niliishasoma between the lines ambayo ni hatari sana
 
mi ushaniuzi kwanini ukabadilisha hand write yangu???eeh si nakuuliza kwanini,,,,,,,, we si ungejibu tu yakwako yangu kwanini ukaiharibu kakakiiza eeh???????? na kama hutaki kunambia nnachokufurahish its okey,,, utaona ntakavyouchuna sasa hivi mpaka na we furaha itakwisha,,,,,wallah umeniuzi ukweli vile,,,,

Pole NILHAM ila sikubadrisha kwa makusudi handwrite ilibadrika kutokana na nilikuwa natumia mobile nisamehe bure!!Ila nakuomba usinifanyie hivyo nimetahadhalisha katika avatar yangu plse naunacho nifurahisha naomba iwe PM hapa kweupe mno!!!
 
ok ur welcome,,,,,
pole nilham ila sikubadrisha kwa makusudi handwrite ilibadrika kutokana na nilikuwa natumia mobile nisamehe bure!!ila nakuomba usinifanyie hivyo nimetahadhalisha katika avatar yangu plse naunacho nifurahisha naomba iwe pm hapa kweupe mno!!!
 
eeh we woooooote waliokuomba umewapa....?
mwenyekt jaman mbona ivi?
kila mtu akikuomba ukampa basi utakuwa hauna tofaut na wanyama....UTASH NEHI
mnapeana kwa kikomo kwa kuzingatia kanuni na maadili husika siyo kuchojoana tu jaman...
kwan kuna MTU ANAKUNYIMA/ANAKUZUNGUSHA?
Pole mwaya!!!!
Hata wanyama wanaafadhali maana wao nimpaka wakati wa heat tu
 
Hah jamani utagawia kila mtu anayekuomba?? Hiyo ngumu hata wanyama nao hawagawi hivyo bwana. Hii kitu inaheshima zake na haitakiwi kuonwa na kila mtu ndo maana inavalishwa nguo kibao ili isionekane na kila mtu sasa iweje ugawe tu kama karanga??
 
hapa ntahitaji mwongozo toka kwa kijana wangu TF.....

mmmhh kwakweli nini tu ambacho hujaelewa hapo.....???
hiyo sentensi imejieleza vizuri tu...

nway nilimaanisha kama ni wanandoa
mwanamke apate haki yake saa anayojisikia
na mwanaume apate haki yake saa anayotaka..

sikumaanisha mbele na nyuma aaaaa....

Hopeful umeelewa kidogo sasa lol:party:
 
Hah jamani utagawia kila mtu anayekuomba?? Hiyo ngumu hata wanyama nao hawagawi hivyo bwana. Hii kitu inaheshima zake na haitakiwi kuonwa na kila mtu ndo maana inavalishwa nguo kibao ili isionekane na kila mtu sasa iweje ugawe tu kama karanga??

wape wape hao. Ukigawa unaambiwa kicheche.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom