Wanawake kusema ukweli nyie ni wachoyo na vitu vyenu!!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,575
8,595
Kweli mtu anakuona na anakupenda anakwambia nimekupenda bibie lakini nyie mnakataa kwa nini??wakati kitu unachoombwa ni mapenzi na unouwezo wakusema njoo ujinome lakini mhmm!!utanizungusha au kunijibu kimkato wakati mali unazo!!Huo ni uchoyo umewakaa sivingine!
 
eeh we woooooote waliokuomba umewapa....?
mwenyekt jaman mbona ivi?
kila mtu akikuomba ukampa basi utakuwa hauna tofaut na wanyama....UTASH NEHI
mnapeana kwa kikomo kwa kuzingatia kanuni na maadili husika siyo kuchojoana tu jaman...
kwan kuna MTU ANAKUNYIMA/ANAKUZUNGUSHA?
Pole mwaya!!!!
 
Hapa naomba twende kimahesabu kidogo(idadi ya wanaomtongoza-idadi ya anaowakataa=mwenzi wake)lakini vilevile kama(idadi ya wanaomtongoza=idadi ya anaowakubali)hapo mtamwita malaya.Swali afanyeje huyu kiumbe ili aishi kwa amani?
 
eeh we woooooote waliokuomba umewapa....?<br />
mwenyekt jaman mbona ivi?<br />
kila mtu akikuomba ukampa basi utakuwa hauna tofaut na wanyama....UTASH NEHI<br />
mnapeana kwa kikomo kwa kuzingatia kanuni na maadili husika siyo kuchojoana tu jaman...<br />
kwan kuna MTU ANAKUNYIMA/ANAKUZUNGUSHA?<br />
Pole mwaya!!!!
Mimi ipo hata wakuiulizia simpati ila ninaye naye muwaza,Katibu!
 
si ndo hapo sasa,,,,,,,,

Ila kweli wanawake wanapenda vya dezo, ila ukimwomba dudu utaona ananza unajua, sikufikiria hivyo, nilifikiri ww rafiki tu na wakati mnatoka nae out kama mara 2 hivi, ila akikupa one day siku nyingine gate lipo wazi bana
 
Kweli mtu anakuona na anakupenda anakwambia nimekupenda bibie lakini nyie mnakataa kwa nini??wakati kitu unachoombwa ni mapenzi na unouwezo wakusema njoo ujinome lakini mhmm!!utanizungusha au kunijibu kimkato wakati mali unazo!!Huo ni uchoyo umewakaa sivingine!
Na wakati mwingine mnafika mpaka kwenye anga za ku do, lakini demu bado atajishauwa kuwa hataki.
 
uwiii hakuna msichana anayetaka kuwa soko kuu...
ila baadhi wanafanya hayo ajili shida.....na wengine ni life choice...

mmhhh lakini ka mtu umeolewa mmhhh 24/7 availability ...
but have to go both ways....
 
mi ushaniuzi kwanini ukabadilisha hand write yangu???eeh si nakuuliza kwanini,,,,,,,, we si ungejibu tu yakwako yangu kwanini ukaiharibu kakakiiza eeh???????? na kama hutaki kunambia nnachokufurahish its okey,,, utaona ntakavyouchuna sasa hivi mpaka na we furaha itakwisha,,,,,wallah umeniuzi ukweli vile,,,,
Hivyohivuo ndofuraha yangu unaweza kuzidisha ukanibore au nikachanganyikiwa zaidi!!
 
mbona hata wa kiume nao wachoyo hamuwasemiiiiiiiiiiiiiiiiiii:teeth: mmh lkn wao ni noma hata kama imechacha wanakula tuuu:teeth:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom