KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,575
- 8,595
Kweli mtu anakuona na anakupenda anakwambia nimekupenda bibie lakini nyie mnakataa kwa nini??wakati kitu unachoombwa ni mapenzi na unouwezo wakusema njoo ujinome lakini mhmm!!utanizungusha au kunijibu kimkato wakati mali unazo!!Huo ni uchoyo umewakaa sivingine!