Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,552
- 112,491
Ukiombwa hela ni nia mbaya, we ukiomba utamu sio nia mbaya? Acha hizo buana mambo ni kupeana...Shida sio kutoa hela, kiuhalisia wanaume tunapenda sana kuwapa hela wanawake tunaowapenda.
Shida ni kuwa wanawake wengi mnaoomba hela mnakua na NIA MBAYA na sisi wanaume mnaotuomba hela, na sisi wanaume huku rohoni we can sense it, yani mwanaume kuna saa ukiombwa hela na mdada unajua hapa natapeliwa, naigiziwa, na mdada hana hisia kabisa na mm, yuko na mm sababu ya hela tu.
Wanaume hatutaki kupendewa hela ndo maana tunalalamika tukiombwa hela na wadada Shunie Niwaheri Evelyn Salt Sky Eclat