cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,628
- 137,327
wee umejua kunivunja mbavu wallah lolNdio maana binti akizidiwa na njaa anaulizwa huna bwana wewe? au bwanako anafanya kazi gani sasa?
wee umejua kunivunja mbavu wallah lolNdio maana binti akizidiwa na njaa anaulizwa huna bwana wewe? au bwanako anafanya kazi gani sasa?
Elfu30 imekuwa wimbo wa taifa wa wanawake wa uchumi wa kati Tanzania nyanja zote
Au nasema uongo ndugu yangu 😂😂😂wee umejua kunivunja mbavu wallah lol
Kwani nyie na ubahili mnatengana?Au nasema uongo ndugu yangu
NAWEWE KATAA RUZUKU KAMA MKITI WA CHAMA CHETUNa nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa
Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza
Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Sjawai kuskia wanaume wenye pesa wakilalamika juu ya kuhudumia mwanamkeMwanaume mwenye pesa hana maneno wala lawama, yeye ana deal na miamala tyuuh,
Pelekeni muswada bungeni, itungwe sheria kwamba wanaume hawatakiwi kuombwa pesa bali wanatakiwa kutoa pesa bila kuombwaNi hali tete kila kona wanaume wanalalamika tabia za wanawake kuomba pesa. Siku hizi kumpata mwanamke asiyeomba omba pesa ni kama kuokota embe bolibo chini ya mchungwa. Wanawake wastaarabu wasiyo omba pesa ni kama wameshaisha siku hizi.
Wanaume wanalalamika unakutana na dada unampenda unafahamiana nae baada ya siku tatu unaorodheshewa matatizo gesi imeisha, simu imepasuka kioo, mama amekimbizwa hospital, luku imekata sasa hivi, nimepungukiwa kodi yani yote hayo unakuta anapewa boyfriend au mwanaume ambaye hata bado hajatamka nakupenda.
Kwa kweli ni janga wanaume wanaogopa wanawake, hawajui yupi ni wa kuoa vijana wanashindwa kupata wife materials kisa mizinga. Wamebaki kutoa hela ili wapate huduma ya ngono na wakitosheka wanakimbia mizinga wanahamishia kwa wanawake wengine kutafuta utamu mwisho wa siku kina dada wanalalamika siku hizi hakuna waoaji
Hahahahah ubahili hatuna sikuhizi tumedevelopKwani nyie na ubahili mnatengana?
Kwa mwanamke smart atamwambia "why umenitumia hii pesa"Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa
Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza
Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Umeongea ukweli mtupu bora ninunue tu namaliza haja zangu hamna kugandana ila inatakiwa tu kuwa makiniNi hali tete kila kona wanaume wanalalamika tabia za wanawake kuomba pesa. Siku hizi kumpata mwanamke asiyeomba omba pesa ni kama kuokota embe bolibo chini ya mchungwa. Wanawake wastaarabu wasiyo omba pesa ni kama wameshaisha siku hizi.
Sasa hawa vijana hawana pesa wanaishia kulia lia.Sjawai kuskia wanaume wenye pesa wakilalamika juu ya kuhudumia mwanamke
hata mie naona kabisa.Hahahahah ubahili hatuna sikuhizi tumedevelop
Yeah! Too bad mie sio smart....akituma sirudishiKwa mwanamke smart atamwambia "why umenitumia hii pesa"
Mwisho atairudisha.
Usile usichovujia jasho wala huna mpango huo.
Hapo ndipo heshima yako iliko.
hapo ni kukuwahi tuu shwaini, ukiomba hela njoo geto uchukue. Walah ukishanipa mzigo labda uambulie nauli tuu.Unataka utelezi buree kwani huyo ni mama yako?