Hakupata job description wakati anaanza kazi, si unajua alipewa u-PM ghafla bin vu!!! Sasa anajaribu kujijengea mwenyewe miongozo ya kazi ukichanganya na hiyo short-sightedness ndio anaishia kwenye viuno!!!
Jamani hebu muandikieni majukumu yake ya kazi huyu baba, anazidi kutia aibu!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.