Ni kweli kamanda, huko kwa Mswati mbona wanawake wako Uchi wa Mnyama,tena mabinti zake wako uchi pia na wala hawako na tatizo lolote. Naambiwa hata Mfalme mwenyewe anaoa wake wengi. Pengine wana jf tusiruhusu mawazo mepesi kutawala na kuhitimisha hivyo. Hebu turuhusu akili yetu kufanya kazi ya ziada. Nguvu za kiume hazipungui kwa kuona maungo yakiwa Wazi. Kama ndivyo hivyo basi watu tulio kwenye ndoa tusingekuwa tunafanya mapenzi.Du.! mkuu umefikiria nini mpaka ukaleta hii mada... simple answer.. kwa tulio oa ,si ungekuta yaani siku nyiingi haisimami maana mi na mke wangu kila siku twaoga pamoja,twavaa pamoja etc. Kwa uelewa wangu nadhani kudinda ni involuntary action , ni kama kufunga jicho, kushtuka unapotobolewa na kitu mguuni...etc. Na jibu la mwisho, nguo simekuja juzi tuu... zamani walikua hawavai kabisaaaa.. na kuna makabila bado hawavai mpakasasa kama wa Hadzabe, lakini moto ni uleule.
Sasa kwa nchi za magharibi inakuaje?maana wazungu wao ni vimini,vihotpant,wakienda beach vibikini so wanaume wa kizungu wao ndo hawawezi shughuli kabisa au?.
#napata tabu kukuelewa for sure#
Nadhani mtoa mada anazungumzia contexts tofauti.....kama mkaka amelelewa Botswana ambako kuona manyonyo ya binti, mapaja na nyonga ni kitu cha kawaida tangu akiwa mtoto, hiyo akili yake itakinai nini?
We Mayenga hebu ukuje ufafanue jambo hapa!
angesema tu simple kua sio maadili mema kuvaa vijinguo hivyo lakini kulihusisha na upungufu wa nguvu za kiume nehiii
Umeongea point, hawa wanatutega sana bana.
Nakubaliana na wewe, Mwanamke au mtoto wa kike yake staha bwana. wengi tunapotoshwa na ya 'uzunguni' but kusema ukweli ukiwa una'hifadhi' binti shurti kitenge/khanga kama si dera kiasi kwamba hata ikitokea kaona kwa bahati mbaya unaona kabisa impact ya matamanio. Lakini kila dakia we duka li wazi hata mteja huchoka ati!
Mabinti jisitirini kama sie enzi zileeeeeeee.
Napita
Nadhani mtoa mada anazungumzia contexts tofauti.....kama mkaka amelelewa Botswana ambako kuona manyonyo ya binti, mapaja na nyonga ni kitu cha kawaida tangu akiwa mtoto, hiyo akili yake itakinai nini?
We Mayenga hebu ukuje ufafanue jambo hapa!
Inawezekana nikawa bias as I prefer usiri, yaani hata ule muda wenyewe doing some teasing games, ile staki nataka inachangia katika kukindle/ fire up the deed so I might be biased katika hili loh.