mcrounmj
JF-Expert Member
- Feb 26, 2016
- 380
- 885
Wasalaamu MMU! Matumaini yangu mko Poa.
Imekuwa ni tatizo kukutana na mwanamke wife material. Wanawake wengi wameonyesha tabia njema katika kipindi cha uchumba, lakini pindi tu walipoolewa na kuitwa wake lasmi tabia zao halisi ndani ya nyumba zilijitokeza.
Katika kizazi chetu na wakati wetu huu, imetokea mara nyingi ndoa kuvurugika mara baada tu ya mume kushuka kiuchumi, kufilisika, kupata ulemavu ama kuugua kwa muda mrefu. Wanawake wengi ndani ya ndoa hawana subira. Wanaolewa kwa masrahi na pindi wanapoona masrahi hayapo tena hujitoa kwenye ndoa hiyo na kwenda kuolewa kwingine ama kuishi wenyewe.
Wanawake wa leo matapeli, wanafake maisha, hawana heshima na wanataka kushindana na wanaume. Ndoa nyingi zimevunjika na nyingine zinachechemea kwa sababu ya wanawake kukosa nidhamu, heshima na utii kwa waume zao. Wanawake wengi waliolewa kwa sababu ya elimu ya mwanaume, cheo cha mwanaume kazini au pesa anazomiliki mwanaume na si upendo walionao juu ya waume zao.
Imekuwa ni nadra sana kukutana na mwanamke aliye kwenye ndoa kuanzia miaka miwili bado anampenda na kumheshimu mme wake hata kipindi anaposhuka kiuchumi ama anapokutana na majanga yoyote. Wanawake hawa waliisha karne ya kumi na nane.
Diana ni mwanamke aliyestahili azaliwe karne ya kumi na nane au kabla ya hapo. Ni wanawake wachache sana wanaoishi sasa katika kipindi chetu lakini matendo yao na tabia zao zikishabihiana na wanawake walioishi karne ya kumi na nane na kabla ya hapo.
Katika harakati zangu za utafutaji nilijikuta naingia chimbo moja katika mikoa ya nyanda za juu kusini. Nilikutana na huyu mwanamke Diana (jina nimempa) kwa mara ya kwanza nilipoenda duka la dawa. Yeye ni nesi kwa taaluma, hivyo alinihudumia, nikavutiwa na ukarimu wake. Ni mwanamke fulani ivi mweusi black beauty, hajisikii na anamuonekano like siyo mnene wala siyo mwembamba.
First day I meet her, nilipata huduma fresh and nothing was more. Nikiwa nimezoea mazingira ndipo nilipata taarifa zake kuwa alikuwa na mshikaji dizaini kama mchumba jamaa fulani fundi pikipiki. Watu wengi walimsifia Diana kwa ukarimu, ucheshi na nidhamu. Hakuwa na makuu na watu na hakuwa anajisikia kabisa.
Miezi sita baadae huyo jamaa ake sijui ndo mchumba alipata ajali mbaya sana ya pikipiki. Alianguka usiku, sehemu ya juu ya mdomo ikatoka, hivyo mwamba huyu meno yote yakawa wazi. People predicted kwamba jamaa ndo anaenda kuachwa kabisa na ukizingatia hawajaoana na hata wazazi hawaijui couple hiyo, but Diana was consistent. Alikuwa bega kwa bega na mshikaji tangu yupo hospital na hata baada ya kuwa discharged demu yuko na jamaa.
Sasa hivi wameoana na jamaa mdomo meno ya juu yako wazi. Hapo kumbuka jama kiuchumi hayuko poa hivyo hata kufanyiwa body replacement ni imeshindikana. Wapo wanaendelea na maisha na Diana wake aliyezaliwa karne hii matendo yake yakiaksi matendo ya wanawake walioishi karne za nyuma.
Let's meet at high 'Cheer's'
Imekuwa ni tatizo kukutana na mwanamke wife material. Wanawake wengi wameonyesha tabia njema katika kipindi cha uchumba, lakini pindi tu walipoolewa na kuitwa wake lasmi tabia zao halisi ndani ya nyumba zilijitokeza.
Katika kizazi chetu na wakati wetu huu, imetokea mara nyingi ndoa kuvurugika mara baada tu ya mume kushuka kiuchumi, kufilisika, kupata ulemavu ama kuugua kwa muda mrefu. Wanawake wengi ndani ya ndoa hawana subira. Wanaolewa kwa masrahi na pindi wanapoona masrahi hayapo tena hujitoa kwenye ndoa hiyo na kwenda kuolewa kwingine ama kuishi wenyewe.
Wanawake wa leo matapeli, wanafake maisha, hawana heshima na wanataka kushindana na wanaume. Ndoa nyingi zimevunjika na nyingine zinachechemea kwa sababu ya wanawake kukosa nidhamu, heshima na utii kwa waume zao. Wanawake wengi waliolewa kwa sababu ya elimu ya mwanaume, cheo cha mwanaume kazini au pesa anazomiliki mwanaume na si upendo walionao juu ya waume zao.
Imekuwa ni nadra sana kukutana na mwanamke aliye kwenye ndoa kuanzia miaka miwili bado anampenda na kumheshimu mme wake hata kipindi anaposhuka kiuchumi ama anapokutana na majanga yoyote. Wanawake hawa waliisha karne ya kumi na nane.
Diana ni mwanamke aliyestahili azaliwe karne ya kumi na nane au kabla ya hapo. Ni wanawake wachache sana wanaoishi sasa katika kipindi chetu lakini matendo yao na tabia zao zikishabihiana na wanawake walioishi karne ya kumi na nane na kabla ya hapo.
Katika harakati zangu za utafutaji nilijikuta naingia chimbo moja katika mikoa ya nyanda za juu kusini. Nilikutana na huyu mwanamke Diana (jina nimempa) kwa mara ya kwanza nilipoenda duka la dawa. Yeye ni nesi kwa taaluma, hivyo alinihudumia, nikavutiwa na ukarimu wake. Ni mwanamke fulani ivi mweusi black beauty, hajisikii na anamuonekano like siyo mnene wala siyo mwembamba.
First day I meet her, nilipata huduma fresh and nothing was more. Nikiwa nimezoea mazingira ndipo nilipata taarifa zake kuwa alikuwa na mshikaji dizaini kama mchumba jamaa fulani fundi pikipiki. Watu wengi walimsifia Diana kwa ukarimu, ucheshi na nidhamu. Hakuwa na makuu na watu na hakuwa anajisikia kabisa.
Miezi sita baadae huyo jamaa ake sijui ndo mchumba alipata ajali mbaya sana ya pikipiki. Alianguka usiku, sehemu ya juu ya mdomo ikatoka, hivyo mwamba huyu meno yote yakawa wazi. People predicted kwamba jamaa ndo anaenda kuachwa kabisa na ukizingatia hawajaoana na hata wazazi hawaijui couple hiyo, but Diana was consistent. Alikuwa bega kwa bega na mshikaji tangu yupo hospital na hata baada ya kuwa discharged demu yuko na jamaa.
Sasa hivi wameoana na jamaa mdomo meno ya juu yako wazi. Hapo kumbuka jama kiuchumi hayuko poa hivyo hata kufanyiwa body replacement ni imeshindikana. Wapo wanaendelea na maisha na Diana wake aliyezaliwa karne hii matendo yake yakiaksi matendo ya wanawake walioishi karne za nyuma.
Let's meet at high 'Cheer's'