St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
Shauri yenu mnaopenda midevu,kuna binti mmoja hapa juzi amelazwa hospitali kisa wakati anamkis jamaa yake akapaliwa ndevu,basi kikohozi chake ilibidi waite Ambulance....
Sipandag bodaboda umechemkaaa jg anaujua vizuri mwil wa mkewe anakushangaa na maelezo yako yakufikirikausitake nitaje na kovu lako lile la pikpik sasa..
My wii in advance pliiz naomba uende kwenye thrade pliiizKipara cha kidevu ndio kizuri bhana!
Pole yake anayekumiliki.
Unaweza maximize kwa vitu vingine.