Triple A
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 766
- 147
Wanawake hufikiria mambo kwa kufanya vitendo vya hisia,kwakuwa husukumwa na nguvu za asili zaidi. Wanawake wengi hawawezi kufikiria mambo kwa mantiki wanapokuwa katika shinikizo. Ndio maana kwa kulinganisha na wanaume wanawake ndio ambao mara nyingi huwa na tabia zinazobadilika,leo ataonekana mwenye mapenzi,kesho ukimsalimia anakaa kimya au kukujibu kunya,kesho kutwa anakuchangamkia na kadhalika!!!
Je ww una lipi la kuongezea juu ya hili?
Je ww una lipi la kuongezea juu ya hili?