RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,382
- 1,850
Hehehee! Nimependa hiyo tafsida yako.Kumbe huwa mnaangalia, basi safi sana. Mibinuko kwa kwenda mbele. Vaeni magauni msiumie na zipu.
Hehehee! Nimependa hiyo tafsida yako.Kumbe huwa mnaangalia, basi safi sana. Mibinuko kwa kwenda mbele. Vaeni magauni msiumie na zipu.
Habari zenu wadau wa JF,
Kuna jambo linakera sana kwa hawa dada zetu ni juu ya jambo moja tu. Kuna style moja inaendelea kuwa maarufu kutumiwa na hawa viumbe. Style ya kubinua Choo (Duka, Kichuguu, au Makalio) kwenda juu, sijuhi mnafanya kwa makusudi au mnataka tuumie na zipu.
Hahahaaaa! Kwa hiyo unahamasisha wazidi kujibinua ili chura aruke ruke.Ha ha ha chura lazima aruke ruke mkuu
Duh!Ndio mtindo wa sasa ,mwanamke asipofyata makalio hajisikii raha, hii yote ni kutuhamasisha tuchimbe vyoo vyao.......
Alah wajibinue tu Kwan kitu ganHahahaaaa! Kwa hiyo unahamasisha wazidi kujibinua ili chura aruke ruke.
mambo ya 071yana waharibu sana unakua na demu sehemu anakuhamishia line bila wewe kujua .tena uko tungi mara hali ya hewa inachafuka unasi labda chemba imejaa inatemea ndani.si unajua vyoo vya ndani tenaNdio mtindo wa sasa ,mwanamke asipofyata makalio hajisikii raha, hii yote ni kutuhamasisha tuchimbe vyoo vyao.......
Noma sana mkuu.................mambo ya 071yana waharibu sana unakua na demu sehemu anakuhamishia line bila wewe kujua .tena uko tungi mara hali ya hewa inachafuka unasi labda chemba imejaa inatemea ndani.si unajua vyoo vya ndani tena
Kuna tukalio tudogo tudogo twa kichina tunafaa saana
Ριcha tafadhaliWengine tuna flat screen ya nguvu wala hatuna cha kubinua.