princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,051
Wakuu Suvai,, Shimboni sheamka,, shimboni shafo,, Aika kwa mlioitikia,,
Let us back to the business,,, Kama title inavojieleza apo juu wanawake hawanaga ujasiri wa kuwaelezea hisia zao wanaume,ni wachache sana wenye huo ujasiri, unaeza kuta katika ma manzi 8 ni wawili tu ndo wanaweza, Mwaka jana nilikua marangu kilimanjaro kwa Sister,so kuna mamiloo alitokea kunielewa ila uthubutu wa kunitamkia hakua nao,kinywa chake kilikua kizito sana. Huyu dem alikua anamtuma mdogo ake aniite anashida namimi,but ukifika hakuna la maana analeta njaro za ajabu tu ambazo sio za duniani hadi time inakata.
Lengo lake lilikua ni mimi kujiongeza ili tuyajenge mapendo catholic,, Marangu kuna milima so nilikua napita kwao napanda kule milimani kula vitu vyangu, Kila nikipita pale nimevaa kacha mkononi au saa utamskia et naomba niangalie iyo saa yako au kacha alaf anaingia nayo ndani,Anasema uifate kule ndichi au niende nnakoenda nikirudi ntaikuta, Obvious nilikua sina nia nae ndomaana nilikua na balance shobo, Hadi narudi Arusha hakuwahi kunifungukia ila alimwambia rafiki ake flani aliekua anasoma Renea girls uku Chuga, kuwa ananielewa ila kuniambia ndo ulikua mtihani,
Maskini dada yule alibaki na hamu zake. ,,,,Wanawake Kama mkituelewa Tutongozeni tu,Sisi ni rahisi sana kukubali,,,,, @ChaliiYaKijengeJuu
Let us back to the business,,, Kama title inavojieleza apo juu wanawake hawanaga ujasiri wa kuwaelezea hisia zao wanaume,ni wachache sana wenye huo ujasiri, unaeza kuta katika ma manzi 8 ni wawili tu ndo wanaweza, Mwaka jana nilikua marangu kilimanjaro kwa Sister,so kuna mamiloo alitokea kunielewa ila uthubutu wa kunitamkia hakua nao,kinywa chake kilikua kizito sana. Huyu dem alikua anamtuma mdogo ake aniite anashida namimi,but ukifika hakuna la maana analeta njaro za ajabu tu ambazo sio za duniani hadi time inakata.
Lengo lake lilikua ni mimi kujiongeza ili tuyajenge mapendo catholic,, Marangu kuna milima so nilikua napita kwao napanda kule milimani kula vitu vyangu, Kila nikipita pale nimevaa kacha mkononi au saa utamskia et naomba niangalie iyo saa yako au kacha alaf anaingia nayo ndani,Anasema uifate kule ndichi au niende nnakoenda nikirudi ntaikuta, Obvious nilikua sina nia nae ndomaana nilikua na balance shobo, Hadi narudi Arusha hakuwahi kunifungukia ila alimwambia rafiki ake flani aliekua anasoma Renea girls uku Chuga, kuwa ananielewa ila kuniambia ndo ulikua mtihani,
Maskini dada yule alibaki na hamu zake. ,,,,Wanawake Kama mkituelewa Tutongozeni tu,Sisi ni rahisi sana kukubali,,,,, @ChaliiYaKijengeJuu