WANAWAKE HAWANA UJASIRI WA KUTUTONGOZA WANAUME.

princemikazo

JF-Expert Member
Jan 10, 2019
2,197
2,051
Wakuu Suvai,, Shimboni sheamka,, shimboni shafo,, Aika kwa mlioitikia,,

Let us back to the business,,, Kama title inavojieleza apo juu wanawake hawanaga ujasiri wa kuwaelezea hisia zao wanaume,ni wachache sana wenye huo ujasiri, unaeza kuta katika ma manzi 8 ni wawili tu ndo wanaweza, Mwaka jana nilikua marangu kilimanjaro kwa Sister,so kuna mamiloo alitokea kunielewa ila uthubutu wa kunitamkia hakua nao,kinywa chake kilikua kizito sana. Huyu dem alikua anamtuma mdogo ake aniite anashida namimi,but ukifika hakuna la maana analeta njaro za ajabu tu ambazo sio za duniani hadi time inakata.

Lengo lake lilikua ni mimi kujiongeza ili tuyajenge mapendo catholic,, Marangu kuna milima so nilikua napita kwao napanda kule milimani kula vitu vyangu, Kila nikipita pale nimevaa kacha mkononi au saa utamskia et naomba niangalie iyo saa yako au kacha alaf anaingia nayo ndani,Anasema uifate kule ndichi au niende nnakoenda nikirudi ntaikuta, Obvious nilikua sina nia nae ndomaana nilikua na balance shobo, Hadi narudi Arusha hakuwahi kunifungukia ila alimwambia rafiki ake flani aliekua anasoma Renea girls uku Chuga, kuwa ananielewa ila kuniambia ndo ulikua mtihani,

Maskini dada yule alibaki na hamu zake. ,,,,Wanawake Kama mkituelewa Tutongozeni tu,Sisi ni rahisi sana kukubali,,,,, @ChaliiYaKijengeJuu
 
Usicheze na hisia za mwanamke mkuu unaweza sababisha hata kifo mzee, be gentleman hata kama umpendi omba hata ushauri kwa watu utamuachaje bila pain yoyote moyoni mwake lakini sio unam- dump au kum-reject kimasihara tu,
Dingii..ushawahi
kukutana na manzi
ambae humuelewi
ata kidogo an?!
 
Aise chali ya arusha huko mlimani ulikuwa unaenda kula yale mambo yetu nini maana
Wakuu Suvai,,
Shimboni sheamka,,
shimboni shafo,,
Aika kwa mlioitikia,,
Let us back to the
business,,,
Kama title inavojieleza
apo juu wanawake hawanaga
ujasiri wa kuwaelezea hisia
zao wanaume,ni wachache
sana wenye huo ujasiri,
unaeza kuta katika ma manzi
8 ni wawili tu ndo wanaweza, Mwaka jana
nilikua marangu
kilimanjaro kwa
Sister,so kuna
mamiloo alitokea
kunielewa ila uthubutu
wa kunitamkia hakua
nao,kinywa chake
kilikua kizito sana.
Huyu dem alikua
anamtuma mdogo
ake aniite anashida
namimi,but ukifika
hakuna la maana
analeta njaro za ajabu
tu ambazo sio za
duniani hadi time
inakata.

Lengo lake
lilikua ni mimi
kujiongeza
ili tuyajenge
mapendo
catholic,,
Marangu kuna
milima so nilikua
napita kwao
napanda kule
milimani kula
vitu vyangu,
Kila nikipita
pale nimevaa
kacha mkononi
au saa utamskia
et naomba niangalie
iyo saa yako au kacha
alaf anaingia nayo
ndani,Anasema
uifate kule ndichi
au niende nnakoenda
nikirudi ntaikuta,
Obvious nilikua
sina nia nae ndomaana
nilikua na balance shobo,

Hadi narudi
Arusha hakuwahi
kunifungukia
ila alimwambia
rafiki ake flani
aliekua anasoma
Renea girls
uku Chuga,
kuwa ananielewa
ila kuniambia
ndo ulikua mtihani,
Maskini dada yule
alibaki na hamu zake.

,,,,Wanawake Kama
mkituelewa Tutongozeni
tu,Sisi ni rahisi sana
kukubali,,,,,
@ChaliiYaKijengeJuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom