kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Nilidhani mwanamke bora ni yule anayejistiri, anavaa vizuri, siyo muongeaji, ni mcha Mungu kwa nje.
Kilichonipata mimi hakika nakiri leo kuwa mwanamke bora ni yule wa Instagram tu, hawa wanajua kutulia na wanaume wao ukiwachukulia serious na wana misimamo kwenye ndoa zao hawadanganyiki kirahisi.
Tofauti na hawa tunaowaona ni wacha Mungu kumbe ndiyo hatari kwa afya zetu.
Kilichonipata mimi hakika nakiri leo kuwa mwanamke bora ni yule wa Instagram tu, hawa wanajua kutulia na wanaume wao ukiwachukulia serious na wana misimamo kwenye ndoa zao hawadanganyiki kirahisi.
Tofauti na hawa tunaowaona ni wacha Mungu kumbe ndiyo hatari kwa afya zetu.