Anachezea engine ya meli huyu daah
Engine room huko
kwa wakristu hakuna sehem ilipoandikwa kuwa mwanamke asile kwa jasho kwa kuwa anazaa kwa uchungu. Biblia hiyo hiyo inamuona mwanamke mpambanaji kama mke mwema SOMA MITHALI 31:10-31.Binaadamu sasa hivi wameamua kwenda against na maandiko, yaani ukikataa kuzaa kwa uchungu lazima ule kwa jasho, ila wengine ndio wanakomaa na vyote ni mwendo wa kula kwa jasho na kuzaa kwa uchungu.
Uzi mzuri hebu tuletee na wale wakina mama kimbo
Siko pande hizo,Mi napiga Mbupu.Kumbe mkiwezeshwa mnaweza
Yah ManEngine room huko
Huyu location kbsa