Hakuna mahal ba,, ng,, inauzwa bei ghali kama arusha fanya utafitiyes kutokana na huko bangi ni bei rahisi kuliko sigara
Aah sana, huo muda wa kujipara ni wa vijana wauza suraNdo uanaume, mvaa sana na mjipodoaji sana huwaza kuvutia tu, wakati mvaa kawaida huwa bize na kubeba na kutimiza majukumu, wavulana ndo hujipodoa, wanaume tunawaza meeeengi ntapata wapi muda wa kukaa kwe dressing table
Taratibu dada hata sisi binadamu tumeumbwa na Mungu huyo huyo.Mwanaume mwenye sura mbaya siwez jamani. Unaweza ukawa na sura ya ancestor wako ila unajua kuvaa na hela unayo na akili ipo ipo kidogo naweza kukaa. Wanaume wenye sura mbaya afu hela hawana siwezi na sitaki wanipitie mbali kabisa. Mi sio mbaya kwanini nibebe mtu mbaya ikatokea nimenasa bahati mbaya nianze kupata mawazo mwanangu atakuaje inahusu??
Njoo mimi niwe kakuahaaaa Mungu ameturidhisha sana usimsingizie Mungu
Nahisi we mmoja wa wauza suraNahisi una mimba si bure. Mana mwanamke akiwa na mimba hata arufu ya petroli kwake arufu safii na arufu ya pafyumu ikawa Keri kwake
Ni kweli kaka ila kwani uongo? Mbona nyie mnatusemaga pia. Kama kuna mzuri kwanin asiwepo na mbaya?Taratibu dada hata sisi binadamu tumeumbwa na Mungu huyo huyo.
Nadhani nimeusoma vyema!!si kwamba nipo upande wa hao wapiga pamba la hasha!!ila nasema kuvaa kwa mwanaume inategemea na shughuli anayofanya!!Rudia kusoma uzi upya
Kwa utulivu
Chunguza Sana wanaume tunakaharufu kakiume, Wapo wajawazito hushinda na mashati ya Waume zao kuwauliza utaskia napenda harufu ya jasho lako
Imenifikirisha sana hii ya "KAMA MUNGU HAKUWARIDHISHA, JE SISI WANAUME NDIO TUTAWARIDHISHA?"hawa viumbe bana, wanapenda tuwe wasaf af wachaf, warefu af wafup, tuwe na hela af tucwe nazo, wakal af wapole, wanene af wembamba, wazur af tuwe na sura mbaya, tupendeze af tucpendeze duu, kama mung akuwaridhsha je? mwanaume ataweza?
Naona hii post inakuhusu sana. Yaani wewe ni mmoja wa wauza sura wa mjini. Bila mimba usingezaliwa licha ya matatizo wanayopata mama zetu. Kwahiyo tuwe na heshima kwa waliotuzaa please?Nahisi una mimba si bure. Mana mwanamke akiwa na mimba hata arufu ya petroli kwake arufu safii na arufu ya pafyumu ikawa Keri kwake
Naona hii post inakuhusu sana. Yaani wewe ni mmoja wa wauza sura wa mjini. Bila mimba usingezaliwa licha ya matatizo wanayopata mama zetu. Kwahiyo tuwe na heshima kwa waliotuzaa please?
Nshakupenda walahNaona hii post inakuhusu sana. Yaani wewe ni mmoja wa wauza sura wa mjini. Bila mimba usingezaliwa licha ya matatizo wanayopata mama zetu. Kwahiyo tuwe na heshima kwa waliotuzaa please?